MANUVA YA JOH MAKINI YACHENGUA WANACHUO TUMAINI IRINGA

                                     Hii ilikuwa juzi kati pande za Tumaini University katika ishu nzima ya promotion ya Grand Malt ambapo kwa mara ya kwanza mzazi aliperfom cargo lake jipya goes by the title of manuva mbele ya wanachuo, it was really! really!! nice, people were like Joo!! rudia tena., jamaa alifanikiwa  kuimbisha umati mzima,si unajua Hip Hop inavyopagawisha!!!!!!!

Comments