JCB UTOTONI ALIKUWA HIVI; on April 02, 2012 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Msanii wa Hip -Hop kutoka crew ya watengwa aliyebamba na ngoma ya Ukisikia paa!! aliyoshirikiana na Chid-Benz,Fid Q, na Jay-mo, Jacob Mabelele a.k.a JCB ( kushoto, aliyenyoosha mkono) akiwa na rafiki yake enzi za utoto wao. Comments
Comments
Post a Comment