Ne-Yo ampongeza diamond kwa alichokifanya.

 Diamond Platnumz
                                                                      Ne-Yo
Diamond na Ne-Yo
               Jana katika tukio la Kupromoti na kuuza brand yake mpya ya pafyumu yake mpya aliyoipa jina "Chibu Perfume" Msanii Diamond Platnumz amemtaja msanii wa kimarekani Ne-Yo kama ni mmoja kati ya watu waliompa pongezi kubwa kwa hicho alichokifanya, Wasanii hao wawili wamefanya kolabo yao iitwayo Marry You inayofanya vizuri kupitia mauzo ya mtandaoni.

Comments