MSANII OMARI OMARI KUZIKWA LEO....

                                                               Marehemu Omari Omari

Msanii nyota wa miondoko ya Mchiriku, Omari Omari, amefariki afajiri ya jana atazikwa leo ajira ya  saa 7 mchana,King Sapeto, rafiki wa karibu wa marehemu, amesema Msiba uko Temeke Mikoroshini nyumbani kwa baba yake na pia.....
mazishi yatafanyika Temeke Mikoroshini jijini Dar es Salaam 
  Omari Omari aliyetamba na wimbo “Kupata Majaaliwa” ndani yake kukiwa na mstari mkali unaosema ndevu amekosa ng’ombe lakini mbuzi kapewa, alifariki katika hospitali kuu ya Temeke baada ya kuugua ugonjwa wa kifua kikuu.
.

Comments