EVENTS

 Mwana Tzeeconnected popote ulipo tunakuconnect na picha zinazoonyesha baadhi ya matukio mbalimbali yaliyojiri mapema wiki hii nchini Tanzania



                          Wanajeshi wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) wakifanya onyesho la ukakamuvu
  Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania John P. Magufuli akisalimiana na mama Maria Nyerere katika maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Rais John P. Magufuli akikagua gwaride la heshima katika kuadhimisha miaka 53 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Rais Magufuli akisalimiana na rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi
                           Mbunge wa Jimbo la Kigamboni-Dar es salaam, Dk. Faustine Ndungulile akiangalia vitabu katika kongamano la kujadili changamoto za elimu katika wilaya ya Kigamboni lililofanyika katika viwanja vya ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Kigamboni mwishoni mwa wiki hii
Mh. Ndungulile akisikiliza maelezo kutoka kwa viongozi mbalimbali wanaohusika na masuala ya kielimu
Mh. Ndungulile akiwasikiliza wanafunzi wakionyesha majaribio ya kisayansi katika kongamano hilo lililoshirikisha wadau wengi wa elimu jimbo la kigamboni.


 Mh. Ndungulile akitoka katiak viwanja vya ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Kigamboni mara baada ya kumalizika kwa kongamano la elimu.

Comments